AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akihubiri katika kanisa lake jana, Gwajima bila kutaja jina la Makamba, alisema: “Siwezi kushughulika na vigari vidogovidogo nyie mnanifahamu, nina leseni ya kuendesha semi trailer …nadhani mmenielewa,” alisema huku waumini wake wakimshangilia.
Juzi, Makamba aliwaeleza wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM kuwa, Askofu Gwajima ni kiongozi wa dini lakini ni mwongo na kuwa uongo huo unawaudhi hata waumini wake ambao ni wanachama wa chama hicho.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwa elimu gani wee Gwagima hata uendeshe magari makubwa?
ReplyDeleteAcha kuhuburi siasa,nenda na kasi ya YESU.
Ksi ya YESU haiwezi kasi yake ni kutukana watu
DeleteSHUT UP!
ReplyDeleteGWAJIMA WE NOMAAAAA
ReplyDeleteMpeni Mungu yaliyo ya Mungu mpeni Kaizari yaliyo ya Kaizari!!
ReplyDelete