AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema bajeti ya Yanga na ile ya Azam FC ni mara mbili ya ile ya Simba, jambo linaloifanya klabu hiyo kuendelea kubaki kuwa msindikizaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwa harakaharaka tutasema sawa,lakini...........
ReplyDeleteHUYU NAE,KUFADHILI HAPANA BALI KUWEKEZA NDIO VYEMA?HAYA NGOJA TUONE.
ReplyDeleteMMMH,MBONA SIMBA HII IKO MIAKA 80 LAKINI HAIJAFA?WANASIMBA WENZANGU NA HASA WALE WASOMI TUTAFAKARI KWA KUIDADAVUA HII KIDARASA HASWA.
ReplyDeleteHuyu nae akajambe zake kule, hela za uwizi ndio anataka kuzitumia ili aonekane anasaidia nchi. Miaka yote alikuwa wapi. Watu wameanza kutumbuliwa majipu ndio anajidai anataka kununua yanga ili kusaidia timu. Kwenda mbele kule
ReplyDeleteAlikuibia wewe
Deletealipoiacha simba alinunua singida united na ilimshinda kwa kuwa haikuwa brand kama simba ndiyo maana anataka kuinunua simba si kwa anayoyasema bali kwa faida ya biashara zake.
ReplyDeleteJamani,jamani,Hii hela ya MO itatutokea puani simba,tuachane kusikiliza kelele za mashabiki kwamba timu ikifungwa na yanga au nani wanashabikia timu apewe mo,wao wanachotaka ni furaha tu hawaoni wa kufikiria athari za mbeleni.
ReplyDelete