AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya makundi kupangwa na KRC Genk kutopangwa na kundi moja na Man United, Samatta alitumia ukurasa wake wa twitter na kuandika ujumbe unaotafsirika kama ni utani, kwa mashabiki ambao walikuwa wanatamani Genk ipangwe kundi moja na Man United.
Mbwana Samatta ✔@samatta77
Wote mnaosikitika kwann genk aijapangwa na man u kwenye group moja mungu anawaona, itakuwa huruma zenu mmekopesha😐
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK