AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndoa ya Mwanamuziki Kanye West na Mrembo Kim Kardashian Huenda inaelekea ukingoni baada ya Tovuti ya US Weekly Kutoboa siri kuwa KIM Kardashian inasemekana anajipanga kuomba talaka baada ya Kanye West atakapo pona , Inasemekana Kardashian hana furaha ndani ya ndoa hiyo kwani kwa sasa wanaishi nyumba tofauti .....
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
jamani nisaidieni kwani kanye anaumwa nini??
ReplyDeletenauliza kanye anaumwa nini?
ReplyDeleteHata kama kim ana mali si anataka apate mali zaidi ndiyo walivyo matajili hawatosheki na ukiangalia kwenye forbes kenya west ana pesa nyingi kumzidi kim kanye west ana milioni dola milioni 150 na kim ana dola milion 85 kim hawezi kumsginda hela rafiki wake wa zamani ambaye alimfanya kim ajulikane ambaye anaitwa paris hilton mwenye utajiri wa dola milioni 100 ingawa sasa hivi kim kampiku kimaarufu lakini paris hajali sababu yeye ni tajiri kumshinda kim mahotel yote ya hilton ni ya kina paris na yapo dunia nzima hapo kim anataka talaka ili amchune hela kanye na siajabu kanye alishajua mambo ya talaka ndiyo maana akachanganyikiwa na kulazwa hospitali ametoka hospitali juzi tu mke hana hata huruma anataka talaka
ReplyDeletekwani kanye anaumwa?
ReplyDeleteANAUMWA NA UGONJWA UNAITWA BIOPOLAR.....SOMETIMES ANAKUWA POA SOMETIMES HAELEWEKI NI KAMA VILE DEPRESSION...
DeleteUDAKU PLEASE KANYE ANAUMWA NINI?
ReplyDelete