AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais amesema kuna ‘wapiga deal’ walikuwa wameingilia mradi wake huku Dangote akisema mwezi huu analeta malori 600 kwaajili ya shughuli zake na kubebea saruji na kwamba atanunua kila rasilimali kwaajili ya kiwanda hicho hapa hapa Tanzania. Pia amedai kuwa atatengeneza ajira zingine mpya zaidi ya 1,500.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Haya sasa yale majungumajungu ya wapiga deal sijui yataishia wapi #HAPAKAZITU
ReplyDeletenilikuwa nasubiria hii kitu kwa hamu sanaa
ReplyDeletebora Magufuli umekata mzizi wa fitina
HAPA KAZI TUU
hahaaa wameumbuka
ReplyDelete