Ali Kiba Anavyoishi Mtaani Kwao: Majirani Wasema Haongei Nao na Anajificha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majirani wa msanii Ali Kiba huko Tabata wamesema msanii huyo anaishi karibu nao lakini hawamuoni kwa kuwa kila akipita amefunga vioo tinted na wala hasalimii
Wamesema wanahisi kuwa anajificha ndio maana amekuwa kifanya hivyo, wamekuwa wakiona magari ya aina tofauti tofauti yakiingia anapokaa wala hawajui gari lake ni lipi..ila wamemsifu kwa muziki mzuri
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad