AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
VENEZUELA: Mwanamke mmoja(Antonieta Saouda) akamtwa akiwa katika harakati za kujaribu kumtorosha mpenzi wake(Ibrain Garcia) kutoka katika gereza la Jose Antonio Anzoategui.
Mwanamke huyo alikwenda kumtembelea mpenzi wake huyo akiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 6 ndipo aliamua kumuweka katika begi la nguo na kuanza harakati za kumtorosha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK