AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akifanya mahojiano wiki hii, Gigy amedai aliumizwa na kitendo cha kupigwa na mpenzi wake huyo baada ya kugundua amechepuka.
“Kuna mambo yalitokea, Mo J alichepuka mimi nikamshtukia, kwa baada ya kumwambia akaanza kunigiga,” alisema Gigy Money.
Aidha, Gigy Money alisema kuwa anamshukuru Mungu kuwa sasa yeye na mpenzi wake huyo wapo sawa.
“Lakini namshukuru mungu yameisha baada ya mimi pia kuchepuka, kwa sababu labda alikuwa hajui maumivu ya kuchepuka, kwahiyo sasa hivi tupo sawa” alisema Gidy.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK