Wajue Mabinti wa Kimbulu (Wairaq) Katika Masuala ya Mapenzi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Leo nimeona niwajuze machache kuhusu hili kabila la wambulu(wairaq) hususani mabinti yani tabia zao, wawapo katika uhusiano na kadhalika!

Kwanza mabinti wa kiiraq asilimia kubwa ni weupe kwa maana ya rangi ya ngozi zao, kwa upande wa nyele(za kichwani) sio siri wamejaliwa kwani ni laini, ndefu na zinazong'aa hususani ukutane na yule ambaye hajachanganyika na kabila jingine.

Mabinti wa kimbulu si wafupi kwani utafiti niliofanya nimegundua kuwa wengi ni warefu japo si sana ila kimo chao wengi wanavutia! 

Kwa upande wa sura ni wazuri sana tuu, ila wengi hawana maumbo ya kibantu(namba nane) na kwa upande wa makalio ni kawaida si kama wale wa kitanga au kwingine waosifika kwa makalio ya haja!Huo ndio muonekano wa hawa dada zetu wa kimbulu ki maumbo!

Saa acha nikujuze kuhusu mtazamo wao wa maisha ya mapenzi japo siwezi kuwa sahihi aslimia mia moja ila nitakuwa nimepatia kiasi fulani!

Wengi wao wanapenda sana kuna na mpenzi wa kabila lao, na hii inasababisha walio waoa mademu wa kiiraq halafu wakaenda nao mjini na ikitokea wakakutana na mtu wa kabila lao huku jua upo uwezekano mkubwa ukaibiwa kiurahisi sana!

Si wavumilivu wa mambo hususani pale kukiwa na financial problems jua uwezekano wa kukimbiwa ni mkubwa sana, kamahii haitoshi madem hawa wanasifa ya kupenda sana madereva wa magari ya tours companies (hapa bado nachunguza nijue ni kwa nini) maana nimegundua kuwa asilimia kubwa ya hawa mabinti wanamegwa na hawa jamaa!

Na kunako majamboz wengi wao hawana mbinu za kiuchokozi kama yale makabila ya pwani kwani unaweza maliza dakika 90 bila kupewa ushirikiano unaostahili.

Ndugu zangu hao ndio mabinti wa kimbulu aka wairaq.

Note: kama unatafuta demu mwenye sura nzuri tena natural basi hawa wanafaa sana ila kwa upande wa uaminifu na uvumilivu majibu ni hayo hapo juu!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huna kazi ya kufanya ww we mwnyewe ushamegwa tu

    ReplyDelete

Top Post Ad