AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge Lazaro Nyalandu akiwasalimiana na moja wa Rubani wa ndege iliyotumika kuwabeba majeruhi wa ajali ya basi la Lucky Vicent, walipokuja Tanzania.
Akiongea kwenye kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Radio Nyalandu anasema mbali na kuwasaidia hao watoto kuwapeleka kwenye matibabu lakini tayari wameshafanya mambo mengi nchini ikiwa pamoja na kusomesha wanafunzi zaidi ya elfu kumi, kuleta madaktari bingwa nchini jambo ambalo walikuwa wakifanya bila kusema au kujitangaza.
Msikilize hapa akifunguka mengi zaidi:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK