AUDIO: Watu Wanachonga Sana Kuhusu Mimi - Lazaro Nyalandu Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge Lazaro Nyalandu amefunguka na kusema kuna watu wamekuwa wakiongea sana juu ya kitendo cha yeye kuwasaidia watoto watatu, ambao ni majeruhi wa ajali kwa kuwasafirisha kuwapeleka Marekani kwa matibabu akishirikiana na shirika la STEMM's.

Mbunge Lazaro Nyalandu akiwasalimiana na moja wa Rubani wa ndege iliyotumika kuwabeba majeruhi wa ajali ya basi la Lucky Vicent, walipokuja Tanzania.

Akiongea kwenye kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Radio Nyalandu anasema mbali na kuwasaidia hao watoto kuwapeleka kwenye matibabu lakini tayari wameshafanya mambo mengi nchini ikiwa pamoja na kusomesha wanafunzi zaidi ya elfu kumi, kuleta madaktari bingwa nchini jambo ambalo walikuwa wakifanya bila kusema au kujitangaza.

Msikilize hapa akifunguka mengi zaidi:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad