Mrisho Gambo Aonywa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jukwa la Wahariri Nchini (TEF), limetoa angalizo na  kufuatilia mwenendo wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo juu mahusiano yake na waandishi wa habari Mkoani humo.

ajitoa Tamko hilo Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa Hilo Deodatusi Balile amesema kuwa mwenendo wa RC Gambo wa kuwadhalilisha waandishi wa habari wanapokuwa kazini na matukio ya aina hiyo kumewafanya wafuatilie mwenendo wa RC huyo kwa vyombo vya habari.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad