AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe huo ulisema , Donald Trump atawajibika kwa kila tone la damu linalomwagika kwenye nchi za kiislamu na kumalizia kusema "Nunaipenda Islamic Stete".
Ujumbe kwenye mtandao ulikuwa na ishara ya kiarabu na ulikuwa maandishi meusi na meupe ambayo hutumiwa kwenyew bendera ya Islamic State.
Ujumbe kwenye mtandao wa Bwana Kasich ulicheza wimbo wa kuitisha maombi ya kiislamu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK