MITANDAO ya Ohio Marekani Yahakiwa na Ujumbe wa Islamic State IS Kuchapishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mitandao kadha ya serikali katika jimbo la Ohio nchini Marekani ukiwemo wa Governor John Kasich imedukuliwa na ujumbe wa kuunga mkono kundi la Islamic State kuchapishwa.

Ujumbe huo ulisema , Donald Trump atawajibika kwa kila tone la damu linalomwagika kwenye nchi za kiislamu na kumalizia kusema "Nunaipenda Islamic Stete".


Ujumbe kwenye mtandao ulikuwa na ishara ya kiarabu na ulikuwa maandishi meusi na meupe ambayo hutumiwa kwenyew bendera ya Islamic State.

Ujumbe kwenye mtandao wa Bwana Kasich ulicheza wimbo wa kuitisha maombi ya kiislamu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad