AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leyla ambaye alifariki katika Hospitali ya Amana, jijini Dar siku ya Jumamosi na kichanga tumboni alipokuwa akijifungua, kumeibua simanzi nzito kwa watu kiasi cha kumpelekea mke mwenza, Leyla kupoteza fahamu kwa muda wa nusu saa msibani.
Mzee Yusuf akiwa na mwili wa kichanga kilichofariki pamoja na mama yake.
Watu waliokusanyika msibani hapo walishikwa na majonzi zaidi baada ya kumuona ‘Malkia’ huyo akipoteza fahamu kitu kilichoonyesha kuumizwa mno na msiba huo.
Chiku enzi za uhai wake.
Marehemu Chiku alizikwa jana (Jumapili) katika Makaburi ya Kisutu, jijini Dar. Mungu amlaze mahali pema peponi Bi Chiku, Amen.
GPL
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK