AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu wa Chadema kanda ya Kaskazini Amani Gulugwa amesema wana ushahidi wa CCM kuwahonga madiwani hao na wameshachukua hatua za kisheria kudhibiti mwenendo huo
Diwani wa kata ya Majengo Emmanuel Kivondo anasema viongozi wa CCM wanatafuta mbinu ya kukaa naye wazungumze lakini wanashindwa
CCM Arumeru nao wamekanusha vikali tuhuma hizo wakisema madiwani hao wamehama kwa hiyari yao wenyewe na bado wengine wapo njiani kujiunga na CCM kwani wanaona hawapo sehemu salama VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
V
ReplyDelete