MREMBO Sanchoka Kugeukia Kilimo cha Nafaka....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


VIDEO queen mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi dhamira yake ya kujitosa kwenye biashara ya kilimo cha nafaka mbalimbali.
Sanchi aliiambia 3-Tamu kuwa, hivi karibuni anafikiria kujiingiza kwenye kilimo am­bacho anaamini kina mafanikio makubwa ingawa wengi wa­naona ni kazi ya kishamba. “Urembo nauweka kando kwa muda kwanza ili ni­jikite zaidi kweye kilimo, nimeo­na kuna fursa kubwa ukizingatia warembo wengi wanachukulia kilimo kama biashara ya wa­shamba,” alisema Sanchi.

JE ATAWEZA KILIMO AU ANAZINGUA?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad