AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Shetta.
Shetta ameeleza hayo kwenye 'story' tatu za kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio baada ya kuwepo tabia ya wasanii kufululiza kutoa kazi zao kwa wakati mmoja jambo ambalo watu wengi wanadhani msanii huyo hajiamini katika kile anachokifanya huku wengine wakifikili ndiyo njia nzuri ya wao kupata kile wanachokitaka ili waweze kuburudika zaidi.
"Mimi siamini sana kwenye hilo ndiyo kutasababisha ku-trend au kufanya vizuri, kwa upande wangu nafikiri kujipanga kwangu ndiyo kuna ni sababisha nifanye vizuri huwenda labda naweza kujipanga 'faster faster", amesema Shetta.Pamoja na hayo, Shetta amesema hajawahi kuathirika na kukaa kimya kwake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK