SHETTA "Sijawahi kuathirika"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Shetta amefunguka kwamba kuachia nyimbo nyingi katika kipindi kimoja siyo ishara au njia ya kumfanya mtu aweze kufanya vizuri katika soko la muziki.

Msanii Shetta.
Shetta ameeleza hayo kwenye 'story' tatu za kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio baada ya kuwepo tabia ya wasanii kufululiza kutoa kazi zao kwa wakati mmoja jambo ambalo watu wengi wanadhani msanii huyo hajiamini katika kile anachokifanya huku wengine wakifikili ndiyo njia nzuri ya wao kupata kile wanachokitaka ili waweze kuburudika zaidi.
"Mimi siamini sana kwenye hilo ndiyo kutasababisha ku-trend au kufanya vizuri, kwa upande wangu nafikiri kujipanga kwangu ndiyo kuna ni sababisha nifanye vizuri huwenda labda naweza kujipanga 'faster faster", amesema Shetta.
Pamoja na hayo, Shetta amesema hajawahi kuathirika na kukaa kimya kwake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad