Dogo Janja Ajawa na Kigugumizi Kuthibitisha Ukweli wa Ndoa Yake na Iren Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dogo Janja Ajawa na Kigugumizi Kuthibitisha Ukweli wa Ndoa Yake
Wakati taarifa zikiendelea kusambaa kuhusu Dogo Janja kufunga ndoa na muigizaji Irene Uwoya, msanii huyo ameshindwa kuweka ukweli wa jambo hilo.

Dogo Janja ambaye kwa sasa anafanya vizuri ngoma ‘Ngarenaro’ ameiambia Planet Bongo ya East Africa Radio kwa sasa hayupo Dar es Salaam ila atakaporojea atalizungumzia hilo.

“Nitakuambia tu wala usijali, nikirudi mjini, nipo mitaa ya Bagamoyo, nikitoka naenda Zanzibar, nikitoka nitakupa exclusive” amesema.

Siku ya Jumamosi October 28, 2017 ndipo taarifa zilianza kudai wawili hao kufunga ndoa lakini hakukuwa na ushahidi wowote zaidi ya picha walizoweka katika mtandao wa Instagram ingawa watu karibu na Dogo Janja wamekuwa wakieleza ni kweli.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad