Mwanamuziki Maua Sama Afunguka Kuhusu Kuolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

WIKI chache baada ya kuchumbiwa na Mzungu, staa wa Muziki wa R&B, Maua Sama amefunguka kuwa ataolewa mwakani.

Akichonga na Over Ze Weekend, Maua alisema kuwa kila kitu kinakwenda kwa utaratibu wake na kwamba suala la ndoa huenda likawepo mwakani na siyo mwaka huu.

“Bado sana mipango ya ndoa labda mwakani. Sasa hivi naangalia muziki zaidi na nashukuru nimeweza kukaa kwa muda mrefu bila kuchuja na hii ni kutokana na msanii unavyojiweka,” alisema Maua.

Imelda Mtema | Ijumaa Wikienda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad