AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi nikiwaza nikajaribu kufikiria kuna siku aliwahi kuniambia habari za kichawichawi nikamwambia azirudishe kwenye kile kidust bin. Usiku nikampgia simu nikajaribu kumuuliza kwa upole aniambie ni wap alikua anapeka akanijibu jibu lile lile. Basi nikaamua kumchunia nikidhamiria kumuacha sasa jana akaomba tukutane nikagoma, usiku akanipigia simu siku analia eti anasema alinipenda sana alitaka nimuoe na zile manii kuna rafiki zake wa kazini kwao ndio walimwambia kuna mganga anaweza anaweza kunifanya nimuoe kama atawapelekea zile manii.
Wakuu ni mara ya pili tumefanya hili tendo sasa sijui ile siku ya kwanza napo aliondoka nazo, huyu binti ni mnyamwezi wa huko tabora naogopa sana atakua anataka kuniloga. Nimewahi kumpeleka home kwangu mara moja but nashangaa alikua anainsist tukafanyie hili tendo hotel.
Naombeni mwenye kuelewa hili ananipe ushauri, nimeshindwa kuomba ushauri kwa watu cuz limekaa kiaibu aibu sana.
Asante.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK