AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU Prof. Eleuther Mwageni ameeleza kuwa waliochaguliwa kujiunga na elimu ya juu kwa awamu hii ni 44,627 ambao ni 57.4% na waliosalia ni 33,129 ambao ni 42%. Ambao wamesalia hawakuchaguliwa kutokana na ushindani au kukosa sifa katika programu walizoziomba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK