Wolper Afunguka Salamu ya Harmonise Siku ya Birthiday ya Daimondi Asema 'Salamu Aikataliwi Yeye ndo Kaja Kunisalimia Maskini'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wolper Afunguka Salamu ya Harmonise Siku ya  Birthiday ya Daimondi Asema 'Salamu Aikataliwi Yeye ndo Kaja Kunisalimia Maskini'
Muigizaji wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameweka wazi juu ya salamu aliyosalimiana na  ex-boyfriend wake Harmonize katika private part ya Diamond siku ya tarehe 02/10/2017.

Akiongea kupitia kU-Heard ya Clouds Fm, mrembo huyo ameeleza kuwa  jambo la yeye kumsalimiana na Harmonize halikuwa tatizo kwani salamu haikataliwa.

“Siwezi kumshangaa sasa kwa nini nimshangae, mimi siwezi kumshangaa bhana yeye si ndo kaja kunisalimia masikini, coz nilikuwa nimekaa na Aunty akaja akanisalimia sasa sijui kama salamu inakataliwa, hata ingekuwa wewe umesalimiwa ungekataa hata ingekuwa wewe ungekataa,” amesema mrembo huyo.

Pia Wolper akadai kuwa hakutokea na mpenzi wake huyo katika sherehe hiyo kwani w alikuwa anaumwa kwa takribani siku tano na kuhusu kufutwa kwa picha zake mtandao wa kijamii wa Instagram, mrembo huyo amedai hafahamu kuhusu ilo kwani hajaingia katika mtandao huo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad