Msiba wa Ndikumana: Watu Mbalimbali Wakusanyika Nyumbani kwa Irene Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msiba wa Ndikumana: Watu Mbalimbali Wakusanyika Nyumbani kwa Irene Uwoya
MASTAA na watu mbalimbali wanaendelea kufika nyumbani kwa mwigizaji wa filamu Irene Uwoya, Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam kuwafariji wafiwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mume wa staa huyo, Hamad Ndikumana, aliyefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Rwanda kutokana na maradhi mbalimbali.
Kabla ya kifo Ndikumana alikuwa kocha msaidizi wa timu ya Rayon Sports ya nchini humo  akiwa pia amewahi kuchezea timu mbalimbali za soka barani Afrika na Ulaya.
Kwa Irene Uwoya ameacha mtoto mmoja aitwaye Krish.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad