AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MASTAA na watu mbalimbali wanaendelea kufika nyumbani kwa mwigizaji wa filamu Irene Uwoya, Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam kuwafariji wafiwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mume wa staa huyo, Hamad Ndikumana, aliyefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Rwanda kutokana na maradhi mbalimbali.
Kabla ya kifo Ndikumana alikuwa kocha msaidizi wa timu ya Rayon Sports ya nchini humo akiwa pia amewahi kuchezea timu mbalimbali za soka barani Afrika na Ulaya.
Kwa Irene Uwoya ameacha mtoto mmoja aitwaye Krish.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK