AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo amesema cha kwanza kabisa ni uhai wake na mambo mengine yanabaki kuwa binafsi na hata mipango ya kujenga pia.
“Maisha yangu siwezi nikayaweka hadharani, sijui nimeingiza au nimetoa shilingi ngapi lakini namshukuru Mungu mwaka huu umekua wa bahati sana” Amber Lulu ameiambia Bongo5.
“Hiyo ni siri yangu, ukifika wakati nitawaambia nimejenga nakadhalika lakini sasa hivi am not ready” amesema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK