AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameimbia Dizzim Online,” Yaani kwenye ile video kulikuwa na utani sana kwasababu mwanzo mpaka mwisho ilikuwa ni funny story-line, ilikuwa zaidi ya kichekesho.”
“So nilikuwa naenjoy zaidi kuliko kufanya kazi, yaani naweza kusema katika video zote nilizofanya hii ilikuwa rahisi sana kwangu.”
Kwenye video hiyo pia anaoekana Dk Louis Shika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK