Jifunze Kupika Karanga za Mayai kwa Ajili ya Kula au Kuuza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahitaji

Karanga kilo 1
Yai moja
Mafuta ya kula ( ya maji ) mls 750
Sukari vijiko 6 vya chakula
Unga wa ngano kikombe kimoja cha kahawa( coffee cup)
Chumvi ya unga nusu kijiko cha chai.
Jiko
Chombo –Sufuria/bakuli
Mwiko /kijiko kikubwa

Maelekezo

Chukua  yai,  pasua  na  koroga  kwenye  chombo  kisafi.
Chukua  karanga,mimina kwenye chombo ulicho koroga yai ,changanya kwa kutumia mikono.
Weka chumvikidogo, changanya vizuri, weka sukari changanya, mimina unga wa ngano, changanyavizuri.
Weka mafuta jikoni hadi yapate moto.
Chota karanga kwa kutumia kijiko  kikubwa  na  weka  kwenye  mafuta  kisha  zigeuze  bila  kuacha  hadi utakapoona karanga zimebadilika rangi kua kahawia.
Tumia  kijiko  kikubwa  kuziepua  na  weka  kwenye  chombo  kisafi  cha  wazi  ilizipoe.
Funga kwenye vifuko vidogo na zihifadhi mahali pasafi tayari kwa kula au kuuza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad