AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha hizo zinaonyesha Wakiwa Studio Kitu ambacho kinaonekana ni Bongo la Collabo linapikwa...
Rosa Ree ni Msanii ambae ameweza kuteka watu mbali mbali nje na ndani ya Tanzania kutokana na style yake yakuchana....
Picha zingine zinazoonyesha akiwa South Afrika hizi Hapa chini:
Rosa Ree Akiwa na Don Bambino Director wa Dimo Production
Rosa Ree Akiwa na Meneja wake John Kiandika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK