AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Kamishna wa Polisi Benue katika mji wa Makurdi, Fatai Owoseni, takribani wanaume 30 ambao ni wachunga mifugo walivamia na kuwaua watu hao 18, wawili kati yao wakiwa viongozi wa kanisa.
Wauaji hao wanaripotiwa kuvamia eneo hilo la kanisa ambapo kulikuwa na misa ya mazishi ilikuwa ikiendelea na kuanza kuwashambulia watu pamoja na wachungaji hao ambao walikuwa wanaongoza misa hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK