AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Balozi wa papa nchini na viongozi wa juu wa jimbo wameondoka eneo la tukio salama na balozi hajadhurika kabisa ingawa mlipuko huo ulilipuka karibu nao.
Mkuu wa mkoa alikuja na sasa ameondoka.
Wananchi wameanza kupungua eneo la tukio na wengi wanaelekea Mount Meru ili kuwatambua majeruhi. Hivyo idadi ya watu wanaondoka eneo la tukio na kwenda hospitali.
Polisi wamekamata pikipiki ambayo inasadikiwa imetumika katika tukio hilo.
Shughuli ya uzinduzi wa kanisa hilo imeahirishwa hadi tarehe ambayo haijatajwa
Mungu awajalie majeruhi wapate nafuu haraka.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wakristo tumekuwa kimya sana,uu ni upuuzi wanaoufanya hawa watu,mwisho wake tutashindwa hata kuja kutembelewa na wageni kwa ujinga wa watu wachache wanaojifanya wanipenda sana dini yao na dini yao ndiyo ya maana sana
ReplyDeletewatangaze kuna ugaidi kama walivyofanya lilipotokea tukio la zanzibar, kumbe na nyinyi mnapenda kutembelewa na wageni
ReplyDelete