DENTI WA KIKE APEWA KICHAPO CHA MBWA MWITU BAADA YA WAZAZI WAKE KUMNASA AKIWA GEST HOUSE NA MPENZI WAKE

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana, tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka jijini Dar es salaam. Hata hivyo mfumaniwa mwenzake ( mwanaume ) hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia.
Wazazi wakimpiga binti yao kwa uchungu na hasira mara baada ya fumanizi.
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wamuache na yeye aonje raha za Dunia mbona hao wazazi wanazifaidi wenyewe

    ReplyDelete

Top Post Ad