REPORT YA BOMU LILILO LIPUKA ARUSHA JANA 15 JUNE 2013

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jaji mstaafu wa Mahakama ya rufaa Damian Lubuva ambae ni mwenyekiti wa tume ya Taifa ya Uchaguzi amesema “Jioni ya June 15 2013 tulipata taarifa ya tukio kule Arusha ambako uchaguzi unafanyika katika kata nne za pale mjini, katika kata moja wapo ya kumalizia kampeni za mwisho bomu likatupwa na watu kufariki pamoja na wengine kuumia, kutokana na hilo tumeona sio wakati muafaka kwa uchaguzi kuendelea kwa sababu wengine wanaendelea na shughuli za mazishi”
“Tume imeahirisha uchaguzi katika kata nne za Arusha mjini kutokana na tukio hilo ambalo linawapa Wananchi hofu wakati wa kupiga kura hivyo uchaguzi umeahirishwa hadi tarehe 30 June” – Lubuva
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad