AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa filamu za Bongo, Miriam Jolwa ‘Kabula’ ameonesha kukerwa na wanaume ambao hawana hela lakini wamekuwa wakijifanya wanajua kupenda sana huku wakiwa na wivu kupitiliza.
Akiongea na mwandishi wetu , Kabula alisema anajua kupenda ni suala la msingi lakini anawashangaa wale wanaokuwa na wivu wa kupindukia na wakati mwingine kutoa vipigo kwa wapenzi wao wakati wao ni wanaume wasio na kitu.
“Unajua nawashangaa sana wanaume wa aina hiyo, wanakuwa na wivu kupitiliza lakini hawawasaidii chochote wapenzi wao kifedha zaidi ya kuonesha wana wivu na wakipishana kidogo tu kipigo kinatembea, mimi wananikera sana,” alisema Kabula.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mwehu wewe
ReplyDeleteHana jipya huyu....umalaya umemjaa..kila mara anawaza kutombwa tu ili apate pesa...utakufa na mdudu kuma wewe
ReplyDeletehum amr tu c'est quoi,Il pleuvait quand tu es née, car dieu a du verser toutes les larmes de son corps quand il se rendit compte qu’il avait perdu son plus bel ange.
ReplyDeletebon mon ami, c'est vrai ca!!!
Delete