DUNIA NA MAAJABU YAKE-BWAWA LA KUOGELEA LENYE LENYE WINE BADALA YA MAJI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yani hii dunia ina vitu vingi na hata vingine hatuvijui, ni furaha yangu kukujulisha kwamba moja kati ya mambo mapya machoni mwangu ni hili bwawa la kuogelea ambalo tofauti na mabwawa mengine, hili halina maji bali lina mvinyo mwekundu yaani Red Wine.
Lipo nchini Japan na wamiliki wa hotel ambayo hii swimming pool ipo walipata idea ya kulijenga kutoka kwa malkia wa Misri enzi za kale Qleopatra ambaye inasemekana alikuwa na Kawaida ya kuoga kwenye mvinyo ili kurutubisha ngozi yake.
Mvinyo huo unamwagika toka kwenye chupa unayoiona hapo kwenye picha ina urefu wa mita 3.6
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. lete hiyo baa huku bongo watu tulipe kiingilio cha kuogelea kisha tupige tungi hadi tulale humohumo bwawani

    ReplyDelete

Top Post Ad