AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimeona watu wengi ambao wapo kwenye mahusiano wakitofautiana. Lakini cha kushangaza ni hiki cha kipigo hasa kwa wadada, wanapigwa na wapenzi wao. Nikakajiuliza kama mahusiano tu unapigwa hata wengne kulazwa je mkiwa kwenye ndoa itakuajeee..? Nisaidieni ni kwel ndo mapenzi au kuwaumiza wadada. Hata wanaume wapigwa lakini si kama wadada
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Ni ushamba na ugeni wa mapenzi.
ReplyDelete