AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ishu hiyo ilianza tangu mwanadada huyo maarufu kama Kiuno Bila Mfupa alipohojiwa kupitia CloudsTV ambapo alieleza jinsi alivyofiti kiafya.
“Unajua tangu aliposema anamshukuru Mungu kumuepusha na shetani wa madawa ya kulevya, wanaume kibao wamekuwa wakimfuatilia wakitangaza dau la kumuoa.
“Lakini pia kilichochochea zaidi wanaume kutaka kumuoa ni pale aliposema amepima Ukimwi na yupo fiti kabisa kiafya.
“Kama hamuamini fuatilieni akaunti yake kwenye Instagram (mtandao) muone. Kila akiweka picha mpya kwa ajili ya mashabiki wake kinachofuata ni maombi ya wanaume wanaomsifia kuwa ni mzuri.
“Yaani wanaume wanamwaga ahadi kibao kama kumjengea mjengo wa kifahari, kumnunulia magari, kila mmoja akimhakikishia maisha bora katika ndoa,” kilisema chanzo chetu.
Gazeti lilipoperuzi kwenye akaunti hiyo ya Ray C na kukutana na maombi hayo ya wanamme.
Katika mahojiano yake na CloudsTV, Ray C alisema kwa sasa hawazi kitu kingine tofauti na kurudi kwanza kwenye muziki kwa kishindo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Utaiweza ndoa? Omba hilo shetani lisikurudie
ReplyDelete