AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa taarifa ambazo sio rasmi, kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka Rusumo ambapo ni mpakani mwa Tanzania na Rwanda na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo yana plate number za Tanzania.
Wamiliki wa Malori wameiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru hali hiyo.
Credit:JF
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo la Kagame ni elimu ndogo, form II mtu anaendesha nchi?Kauli aliyotoa Kikwete ilikuwa nzuri sana.Kagame amekasirika kwa Tanzania kupeleka majeshi Congo, na kwa upeo wake mdogo ndipo anaudhihirishia ulimwengu kuwa ana wasaidia waasi wa M23. Niko chuo kimoja nje sitataja wapi maana najua kagame anawafuatilia sana, kuna dada mmoja mnyarwanda aliniambia mwaka jana.. mara nyingi amekuwa akimpigia kaka yake mwanajeshi wa Rwanda ana mwambia wako Congo wana fight, report za UN zimeonesha hivyo.Huyu jamaa na Clinton wameiharibu Congo(nchi yenye utajiri mkubwa duniani lakin ndio masikini namba moja) . Leo hii kila baada ya miezi 2 Clinton lazima aende Rwanda, kuna nini?
ReplyDeleteClinton huwa anaona aibu sana kuwa wakati wa mauaji ya Rwanda yeye akiwa Rais wa Marekani hakufanya lolote kuyazuia. Kutokana na aibu hiyo amejitahidi kujisafisha kwa kujifanaya anaisadia na kuitetea sana Rwanda hii ya Kagame akiwa nje ya madaraka.
DeleteNdio maana juzi Clinton alimsifia Kagame, akisema hizo ni shutuma tu hazijadhihirika mbele ya mahakama.Congo ilitakiwa kuwa na uchumi mzuri kuliko hata nchi za ulaya, maana asilimia 75 ya madini yanayotengeneza simu, laptop na bdhaa nyingine yanatoka Congo
ReplyDelete