AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni, Jux alipost picha Instagram akiwa amemshikilia Jackie mkono wakitembea pamoja kama mtu na mpenzi wake na kuandika: We jus outchea livin our mfkn lives. Siku chache kabla ya picha hiyo, Jackie naye alipost picha akiwa na Jux na kuandika: My bff is better than yours..’
Miezi mitatu iliyopita , Jackie ambaye ameonekana kwenye video ya Linex ya wimbo wake Kimugina hivi karibuni, aliweka picha ya Jux na kuandika ujumbe mrefu wa kumtakia siku njema ya kuzaliwa akisema:
I don’t like to call u a friend..To me ur just a special friend..A wonderful friend..A heaven sent,And todai its your special day..God keep showering you with lots of success and blessings cuz you deserves so much more..And your so special to me..Ladies and Gentlemen help me wish Happy Bday To this handsome friend of mine’ Bongo5.com
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jackl ana mimba ya jux
ReplyDeleteUiwashikia miguu?
ReplyDeleteNaomba kuuliza mume wa Jackie bado Yuko jela?naona mke anakula bata refuuuu utafikiri Yuko single.Kumbe mke wa mtu.
ReplyDeleteMI SIWAJUI HAWA na HAYANIUSU but pic inaonyesha kuwa ni WAPENZI kabisaaaaa.
ReplyDelete