AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
alianguka pembeni ya kanisa huko Naija huku akiwa na kiganja cha mkono wa mtu mdomoni na gongo kubwa mkononi, baada ya kuhojiwa baadae alisema kwamba yeye alikuwa kwenye safari zake tu na baadae kujikuta amepoteza fahamu eneo hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sasaaa alikua ktk safari za kikazi au mizunguko ya kawaida tu
ReplyDeletewangemchoma moto hapo hapo
ReplyDeleteMshenzi mkubwa huyo angechomwa moto kabisa
ReplyDeleteHa ha ha ha, uwiiii mshenzi kweli Eti safari zake na mkono wa mtu??sasa
ReplyDeletehabari ya toka mwaka jana hii bana a
ReplyDeleteSanaa
ReplyDelete
ReplyDeleteLooooooooo hasidi mkubwa
Mwacheni,mwacheni aende zake,sisi serikari hatuna uchawi,hatuutambui kabisa,mpelekeni milembe tu au kwa mkemia.
ReplyDeleteduuuuuuuuuu kumbe uchawi upo?
ReplyDelete