AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa ni zamu ya Godzilla kupata neema za Diamond Platnumz, kipenzi cha wengi. Wakali hao watasikika kwenye ngoma ya pamoja iliyofanyika MJ Records na ambayo itatoka mwaka 2014.
“Zilla &diamond platinum&za chaa&marco chalii . ..on the same page ,whts my name jan ....see you 2014,” ametweet Godzilla jana.
Hakuna wasiwasi kuwa hiyo itakuwa hit ya mwaka 2014.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Platz jiandae kukalishwa !
ReplyDeleteMbona Dogo Nasib Fresh Sana.
ReplyDeletePgen Kaz Live Madogo!Alaf Diamond Achana Na Hcho Kimganga Kichawi We Pga Kaz.
ReplyDeleteCc 2nafulah Kuwaona Mkiwa Mnapenda Kama Hvyo Mungu Awe Pamoja Nanyi!
ReplyDeleteSaf xanaaaaaa nasib tena namfagilia knoma noma lzma ngoma ihit
ReplyDelete