MWAKEMBE NOMA:AFANYA UKAGUZI WA MABASI YA MIKOANI KUONA KAMA WAMEZIDISHA NAULI MSIMU WA SIKUKUU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuelekea kusheherekea sikukuu za Xmass na Mwaka Mpya Waziri wa Uchukuzi Dr Harrison Mwakembe amefanya ukaguzi wa tiketi kwa mabasi mbalimbali yaendayo mikoani ilikubaini mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli katika kipindi hiki cha Xmass na mwaka mpya.
Baadhi ya mabasi yaliyokamatwa kwa makosa ya kuzidisha nauli aliamuru kurudishiwa nauli zilizozidi kwa abiria wao,zoezi hilo limefanyika alfajiri eneo la Visiga mkoa wa Pwani,kurudishiwa nauli kwa abiria kumeenda sambamba na faini ya shilingi laki mbili na nusu kwa kila basi lililofanya kosa hilo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jaman si aje hapo ubungo terminal ayaone madudu yanayofanyika hapo?
    Maana dsm bwana kila sehemu ni usenge mtupu wasione tu sikukuu visimi vinawawasha....

    ReplyDelete
  2. kwi kwi kwi mdau hapo juu umenifanya nicheke kwa kweli...

    ReplyDelete
  3. sasa visimi vinavyowawasha ni vya mbele au vya nyuma teh teh teh teh! Mdau umetisha

    ReplyDelete
  4. kakoxa xehem ya kwenda.. Na dzain kama kachelewa.. Na angeenda ubungo.. Na drop moshi kwa buku 23 et nafika hapo naambiwa buku 33

    ReplyDelete
  5. Faini ndogo mno kwa kosa la kuibia watu.

    ReplyDelete
  6. Namkubali sana huyu waziri pamoja mheshimiwa...BY OCHU THE DON

    ReplyDelete

Top Post Ad