AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema Sepetu ameuambia mtandao wa FilamCentral kuwa hana rafiki anayejua siri zake zaidi ya meneja huyo ambaye amekuwa akimuongoza vema.
“Kadinda ndo kila kitu kwangu, hata akiondoka na kukaa mbali na mimi kwa muda mrefu ninapokutana naye tu, nitamweleza kila kitu toka siku ya mwisho tuliyoachana, hivyo inakuwa kama sijapoteana naye,yaani ni kama vile nipo naye kila siku iendayo kwa Mungu,”anasema Wema.
Msanii huyu ameendelea kusema kwamba hata kampuni yake ya Endless Fame film aliifungua kwa msaada wa Kadinda baada ya kumshauri kuwa kwa hadhi yake anastahili kuwa na kampuni na aache kuigiza filamu za watu wengine.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiyo kampuni imewahi kutoa any movie kweli.
ReplyDeletemapoz gani hayo,
ReplyDeleteeeeet mtu na meneja halooo lkn kadinda c haDINDI teh teh
Deletekweli lkn hv hyo kampuni imeshatoa movie gn wajameni??
ReplyDeletehata me nashangaa, nimda mrefu sasa hakuna kitu, mashauzi tu
ReplyDeleteMbona hatuoni filamu au kampuni inahusika na nn ,wema hatukuelewi.
ReplyDeleteHivi wema na diamond mmelishana yamini?
ReplyDeleteDu masikini penny alijipa ashua kwamba yeye ndie mamaa naseeb,tulikuonya,pendwa na mwanaume kwanza sio mawifi na mama mkwe.kwani mawifi na mama mkwe ndio unaolala nao kitanda kimoja?
Deleteizo ni makofi za kilo
ReplyDelete