AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto amekuwa mpole sana na anaonyesha kujua maamuzi ya kikao cha kesho kitu ambacho anasema yeye kama mwanasiasa lazima ajiandae kisaikolojia.
Ila amesema akishindwa kutafuta haki ndani ya chama basi atatumia katiba kupata haki.
Update:
- Zitto anasema watazunguka nchi nzima. Hii imekuja wakati akijibu swali kutoka Karatu swali je watazunguka na nani? Na kupitia chama gani?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
So tired with the newz of that little rat zitto, it makes me sick, he is a spent force already! dont have something else to give us udaku special?
ReplyDeleteChadema, kama mkimgundua ni MAMLUKI, mfukuzeni sababu huyu jamaa haeleweki, na hatafika popote, sababu ya tamaa zake, mwacheni aende kwa mafisadi wanao mlea, Mungu yupo kama akitaka mabadiliko yatokee, yatatokea tu bila hawa walafi.
ReplyDeleteHivi mkiwaamini hawa wanasiasa mnadhani tutakua tumejikomboa kweli ? Mabadiliko yanaanza na ww na mm ,tz take care
ReplyDeleteperfect
Deletehao kamati housing engine hiyo sasa kuma zenu
ReplyDeleteZito, ana hama chadema, ki aina, ha ha ha huyo ni ccm, hamkumjua tu!
ReplyDeletemwache ahame, chadema ina vijana wengi tu hodari, na huyu jamaa alishagundulika muda mrefu, wasiokuwa na fikra watamfuata huko, zito siyo chama bwana!
ReplyDeleteINAKULA KWENU NYIE
Deletehao vijana unaosema ni wengi wapo wapi ulipowatunza, acha kuota ndoto za mchana. kila kura ina faida yake
ReplyDeletebadala ya kujenga chama mnakuwa mnamkalia zitto, viongozi wa chadema acheni upuuzi, msameheni 2jenge chama. ww mnyika na lema wote mamluki wa mbowe acheni chuki binafsi wala msijiridhishe kuwa mna vijana wengi nasi tunawasubiri tu mje majimboni kwetu mtatuambia vizuri na siasa zenu za uchwara na chuki binafsi
ReplyDeletemnapotuambia tule ccm kulala chadema mna maana gani? lazima joto ya jiwe muionje kwa yeyote aliyemsingizia zitto kwenye jimbo lake huyo cio chacha wangwe bwana.
ReplyDeletena chadema hamtakuwa tena na amani kuhusu zitto mpaka uchaguzi utakapo kwisha huyo ndiyo hirizi ya chadema hebu mthubutu muone
ReplyDeletemimi ninaye mshangaa ni lissu mbona hajawahi kusimamia sheria kabisa nadhani hata uanasheria wake una mashaka kwangu hata raisi naye kaliona hili, hata katiba ya chama chake haijui kabisa.
ReplyDeleteccm tumepata point za kuimaliza chadema, kwani ukabila, udini na ukanda unawatafuna hao hawataki kabsa kushirikiana na watu wengine.
ReplyDeletesilaa alidhani kigoma watamponda zitto, sasa alionja mziki wa waha. na tunasubiri uchaguzi ujao kama utapata kura kigoma wewe ni mwanaume, unatuharibia chama na kadi yako ya ccm uliyokuja nayo chadema mamluki mkubwa wewe
ReplyDeleteKama mtanzania utajikomboa mwenyewe but si chama fulani kita kukomboa.Know that
ReplyDelete