AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana kuna Kundi la wasanii ambao wamejiunga CCM...Nilipost habari hiyo na Watu wametoa hisia tofauti tofauti kuhusu tukio hilo la Wasanii Wengi kwa Pamoja kuingia CCM wengi wamekuwa na shaka kuhusu hilo na kuuliza maswali yasio na majibu ...Wasanii hao walionekana wakipanda ndege ya Fast Jet Kuelekea Mbeya kwa Makundi ...Je wewe Unaona ni sawa na wamejiunga kwa kupenda kwao ama kuna ka ushawishi ? TOA MAONI YAKO
Udaku Specially Blog
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtu kujiunga na chama ni uhuru wa mtu
ReplyDeleteKumamazenu mlitaka ajiunge nani? Hii issue ndo imezua gumzo mbona kuna mengi ya kuongelea akha,kwa nini tusijadiri jinsi ya kutafuta mbinu ya kukomesha huu mchezo mchafu...niuseme au?
ReplyDeleteHii danganya toto mbona wasijiunge siku za nyuma zilizopita yan mtu aache kuchukua kadi ya ccm dar aende mbeya kirahis tu tena kwa ndege kufuata kad ya ccm!wenzenu wameshatengeneza hela nyie humu ndan mnachongaa!
ReplyDelete100%
DeleteWAANGALIE WOOOTE HAOO, UJARIBU KUFUATILIA ELIMU ZAO. NDIO MAANA WANASHOOT VIDEO WANAZIITA FILAMU ZA KITANZANIA. HATA FILAMU MAANA YAKE HAWAJUI. KWA WALE TULIOSOMA KISWAHILI TU CHA 4M4 KUNA TOFAUTI KUBWA SANA YA FILAMU NA MAIGIZO AU TAMTHILIA. BONGO MUVIE BONGO LALAA BONGO MUSIC, TAALUMA AMBAYO UBONGO HAUTUMIKI. WATAISHIA KUONESHA VIDEO ZAO USWAHILINI NA KUONESHWA KWENYE MABANDA YA MIAMIA
ReplyDeleteNi wajibu wa vyama kushawishi( mobilize ) wanachama wapya,hata hivyo uamuzi wa mtu kujiunga ni wake binafsi, wote hao ni watu wazima.
ReplyDeleteKwani wewe ulikatazwa shekhe au bibiii kila mtu nanjaazake bongoiii iyangalie vizuri na post zako ohoo "Bongo darisalamii"
ReplyDeleteNawewe jiunge na chadem
ReplyDeletewameishiwa hawa, wanatafuta hela za kujikimu toka ccccccmmmm, hawajui hizo ni hela za wananchi wanapewa!!
ReplyDelete