AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sammarize div one wangapi two wangapi hadi div five wangapi
ReplyDeleteYana makosa makubwa sana, hata sijui kwanini wamekurupuka kuyaweka mtandaoni. Ni aibu kwa chombo cha taifa kuweka hadharani kwa kujiamini kitu chenye makosa makubwa kiasi hiki. Kuna wanafunzi wana point 42, 43, 46, wameandikiwa DIV - IV wakati wengine wengi pia wana hizo point na wana Zero. Sasa tufwate lipi? Inamaana baraza halina wahakiki wa matokeo? Tunajuaje kama kweli yote yana usahihi? Coz ni uzembe wa hali ya juu ulooneshwa na baraza kwa haya matokeo.
ReplyDeletewaliomaliza shule za kata ndiyo watakaopigia kura ccm 2015!! ccm oyeeeee!!
ReplyDeletelabda mim cmu yangu mbov lakn kuna baadh ya shule czion!
ReplyDelete