MISS TZ AKIRI KUTEMBEA NA KONDOM KWENYE MKOBA SAA 24!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Jelard Lucas
MISS Tanzania 2011, Salha Israel ameweka bayana bila ya woga wowote kuwa, kwenye pochi yake hakaukiwi na mipira ya kiume ‘kondom’, Amani linakupa kila kitu kinagaubaga.

Salha alisema hayo, juzi Jumanne katika mahojiano maalum, chumba cha habari cha Magazeti Pendwa Bongo, Global Publishers, Bamaga – Mwenge jijini Dar es Salaam.

HABARI KAMILI
Katika mahojiano hayo, Salha aliwekwa mtu kati ambapo alifafanua ishu hiyo pamoja na mambo mengine ndani na nje ya urembo, bila kusahau tasnia ya sinema ambayo kwa sasa ameingia kwa miguu miwili.

Swali la msingi lililozaa jibu hilo ni pale alipoulizwa kama aliwahi kutoa mimba tangu alipoanza kuelea kwenye bahari ya mapenzi, ambapo alikana kisha akafafanua: “Mimba! Weeeee.... hapana. Sijawahi kupata wala kutoa mimba.”

Akaongeza: “Mimi natumia kondom bwana, mimba itaingia wapi hapa!”
AMANI: Kama ukienda kwa jamaa na akawa hana kondom unafanyaje?
SALHA: Na kwa nini asiwe nayo? Lakini siyo tatizo sana, ndiyo maana mimi huwa nakuwa nazo kwenye pochi muda wote. Nikijua nakwenda kwa jamaa, basi zinakuwa tayari.

Sitaki kisingizio, kama atakuwa nazo fine (sawa) but (lakini) akiwa hana natoa zangu. Unajua mimi ndiye nitakayeingia kwenye matatizo ndiyo maana nakuwa makini mwenyewe.

AMANI: Kwa hiyo hata sasa hivi hapo unazo kondom kwenye pochi yako?
SALHA: (Anacheka) Hapana, hapana... kwa sasa sina na hii ni kwa sababu sina mtu muda huu ila nikiwa naye huwa siachi kuzibeba muda wote.
Credits:Global Publishers
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ww kuma unatafuta umaarufu kwa kasi sio kivyo.

    ReplyDelete
  2. Shidwa pepo!!! Tafuta njia nyingine ya kutoka wee mwehu!! Kondomu inazuia mimba Si ukimwi!!!! Unachekekesha!!!!

    ReplyDelete
  3. kwahiyo yeye masaa 24 anawaza kugongwa!! dah dada zetu wasiku hizi, hatari!!

    ReplyDelete
  4. Ye anawaza kutombwa 2

    ReplyDelete
  5. We Have big Western Union Hack for everywhere and any time for you. We transfer money to all countries/territories in world that have Western Union. We can transfer big amounts and you can receive this money from your country. We accept payments of 10% of transfer and with big transfers we do give discounts .We make it very safe and the service is very fast. We make transfer and forward you your Western Union info without delay or issues. We give you the MTCN , sender info and all cashout info in 45 min to 1 hr.

    INFORMATION REQUIRED
    Recipients First Name And Last Name
    Recipients Address ( Country, City)
    Recipients Zip Code


    SELLING MTCN
    Why we are selling MTCN ?

    Because we do percentage with our associates, but still to reduce risk we cannot to the same name all the time, that is why we take close to 10% per transaction. The transaction is done by using a series of transfers to our exchanger who then in turn send the money to the receiver. This is done to increase the margin of safety both for us and the receiver.

    MTCN SOFTWARE

    NO SUCH THING EXISTS in a western union hack. Some new customers ask us if we use this. There is no MTCN software available in the world currently that hacks in to western union. In fact they are available for free on the internet like for example here: westernunionhack.blogspot.com but all you will get from it is probably a virus. Scammers also use this lie to lure newbies as they do not know this. The transaction is done by using a series of transfers to our exchanger using Fullz(full info cards) who then in turn send the money to the receiver. This is done so that the receiver receives clean funds.

    PERCENTAGE DEALS/BEGGING?

    We do not do percentage deals with people we do not know so please do not bother asking. The same goes for begging e.t.c.

    AMOUNTS OVER $10000

    Please note for transfers over $10000, for the western union hack, we divide the transfers but will equal your total amount: For example $20000 will be 2 transfers of $9000 and one transfer of $2000. This also depends on individual countries/Territories.

    HOW CAN GET MTCN + ALL DETAILS

    After we confirm payment wait 45 minutes then you get MTCN + all details for you to cash out. After your successful payment confirmation, You will receive the MTCN (10 numbers) + all details (sender name + country sender) for your cash-out money. You do get your MTCN immediately, whenever you want and anywhere that has Western Union. It is important to stay on standby during this time(45min to 1hr) while your transaction is taking place


    If have any problem with codes and pass extract, please send me email or chat via yahoo with your demo of payment . We will respond within immediately. We have a 24hr support service.

    Price Amount Details
    Price Amount Details
    $250 $3,000 MTCN ( all details info for the money)
    $350 $6,000 MTCN ( all details info for the money)
    $500 $10,000 MTCN ( all details info for the money)
    $700 $15,000 MTCN ( all details info for the money)
    $800 $20,000 MTCN ( all details info for the money)

    - I have sold to many customers worldwide and has created reputation for them. - I need serious customers to do long time business with me. If you really trust and want to buy from a good service hacking contact us through nkashekya@yahoo.com , siabrown.f@gmail.com
    This is only for serious people who want to make money. Their not going to be any negotiation of any mentioned price

    ReplyDelete

Top Post Ad