TIMES FM WAPIGWA FINE BAADA YA DIDA KUGEUZA KIPINDI KUWA CHA UGOMVI BINAFSI NA MSANII KURYA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kamati ya Maadili ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imekitaka kituo cha Radio Times FM ya Dar es salaam kuomba radhi mfululizo siku tatu na kumlipa tsh 500,000 msanii wa Taarab, Karya Temba baada ya mtangaji wake, Dida kupitia kipindi cha ‘Mitikisiko ya Pwani’ kumshambulia binafsi msanii huyo.

Kamati imesema mtangazaji Hadija Shaibu maarufu Dida aligeuza kipindi anachorusha redioni hapo kuwa cha ugomvi binafsi kati yake na mlalamikaji ambaye ni Karya na kwamba alichochea wasikilizaji kutuma meseji za kejeli kwa mlalamikaji jambo ambalo sio lengo la usajili wa kituo hicho. 
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Jaji mstaafu Thomas Mihayo wakati akifafanua juu ya malalamiko ya msanii huyo akidai kipindi hicho kilimdhalilisha na kumharibia sifa kama mwanamuziki.
Jaji Mihayo alisema baada ya kamati kusikiliza pande hizo mbili, inaagiza redio hiyo kumwomba radhi mlalamikaji kupitia kipindi hicho katika vipindi vitatu mfululizo kuanzia Februari 5 na maudhui ya radhi hiyo yataridhiwa na MCT. 
Alisema kituo hicho, pia kimlipe mlalamikaji Sh 500,000 kama gharama za kutayarisha malalamiko na kimuandikie barua ya kumwomba radhi ndani ya wiki moja kuanzia jana na nakala kutumwa MCT. Katika shauri hilo namba 28, 2013, Temba analalamika kushambuliwa, kukashifiwa na hata kubaguliwa na mtangazaji huyo katika kipindi chake cha Mitikisiko ya Pwani anachokirusha redioni hapo.
Vile vile Kamati hiyo imesema redio hiyo ilikiuka maadili ya utangazaji kwa kurusha kipindi kinachoshutumu watu kwa kutumia kabila lao na kilikuwa na maudhui ya udhalilishaji wa kijinsia, kinyume cha maadili na kanuni bora za uanahabari
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

71 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jaman, huyu dida kazid kuchafua wenzie hata mm huwa namshangaaa yaani akigombana hata na jiran yake tu lazima kesho ansmwamkia redion atamtukana mpaka basi sijui alisomea wapi huo utangazaji

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huyo mtangazaji ni mpuuz anadhania hapo atakaa milele fala huyo

      Delete
  2. Alimtukana nyawana kupitia kipindi chake siku 3 nzima ndio ilikuwa topic halafu nashangaa huo uongo zi wa times fm sijui kauloga maana huwa unamkalia kimya 2 .Na yule zombi wake sijui kiserengeti boy chake kskiokota wapi basi kinsmchuna 2 sasa hivi na yeye snapelekwa China akalete magagulo ya dukani hata kumshaur huyo jimama lake linalomwrka mjin hawez sijui a naogopa ataachwa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Shost sio huyo 2 Mbona yule ndo zake alimkeshea sintah wiki nzima anamsema mtoto wa wa2 bila sababu yeyote but mwenzio kenda shule wala hakumjibu mwanamke hana haya yule utafikir kazaliwa na baba

      Delete
  3. Sura mbaya, shepu mbaya, roho mbaya, tabia mbaya.

    ReplyDelete
    Replies
    1. mchangiaji unatumia kinywaji gani? umenifurahisha

      Delete
  4. Nyie wote mnaomsema dida hapa ni wasenge yu acheni roho mbaya uyo dida anaukubwa gani mpk mseme jimama temba alimkosea dida akamchana live na huwa aogopi kumwambia mtu ukweli kipindi chake kizuri kinapendwa na kila rika ni nyinyi wachache mnaomchukia umu ndani na kumtusi kujichubua kwake akuwahusu na kuhusu uyo sinta alimuanza mwenzie akamchamba siku zote anayemaliza anaonekana mkorofi kina Gerald hando mbona na wao walimchana mtu wakaomba radhi kila mtu na kazi yake na ya mabosi zake kumpenda ni kawaida wanajua anaiingizia noni kampuni washenzi tu na roho zenu mbaya mnakurupuka kumuongelea usenge mkome shenzi nyie na wewe unayemsema akanyonye mapumbu jua yule mumewe sio hawala omba na wewe uolewe kila mtu ma bahati yake mfuuuuuuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tuma salamu...

      Delete
    2. hahahhahahah hujatulia mwenzako kajieleza mpk bc

      Delete
    3. kweli kosa mali upate akili. unatukana wenzio bure bila sababu yoyote ya msingi. hata kama huyo dida anachokozwa, hapaswi kutumia ofisi yake kuwashambulia hao wapinzani wake. hana ethics za kazi yake. akagombane nao huko vichochoroni na sio hewani. kwanza anajidhalilisha yeye mwenyewe. ile ni ofisi, anapaswa aiheshimu. kenge wa bluu wewe

      Delete
  5. Wewe unayesema dida mbaya tuma picha yako tukuone matako wewe dida ana ubaya gani mbwa koko wewe wabongo mna roho mbaya sana tena awachambeeeee ujumbe unawafikia nyooooo manina zenu

    ReplyDelete
    Replies
    1. kundu lako! kuma kibuyu we... ndo maana baba yako shoga, anabanduliwa.

      Delete
  6. Hapo dida mwenyew ndo kajibu...kuliko kuchambia redion bora uwe unachamba kweny blog yako bas......we ndio mdogo ila kwa yule kaka we mkubaaaa kwikwikwi usijidogodishe na shepu yako ya flat screen na hicho kichwa km kimepachikwa tu hahaha

    ReplyDelete
    Replies
    1. kwikwiiiiiiiiiiii... mbavu zangu mie. nikuletee kinywaji gani kibela?

      Delete
  7. Kwendaaaaa huko we dida mwenyewe tunakujua mdomo marefu na matus ndio kazi yako usijifansnishe na kina Gelad hando wale hawstukani ovyo kwanza hatujawai kusikia wa kitu kana wa2 kifurung'ombe we sasa kama Temba sijui Tembo alimkosea si mambo yao bi nafasi si umfate mkayaongee kweni huyo Temba alikuja redion kukutukana au hiyo redio mali yako binafsi ya kutukania watu au unafikiri watangazaji wenzio wote wa station zote hawagombani huko majumban kwao? Ingekuwa taflan basi kila mtangaza ji akigombana na mtu aje redion aanze kumtukana si ingekuwa balaa. Ji rekebishe tabia mbaya na elim huna ya utangazaji umevamia fani papa wemba weee nyooo

    ReplyDelete
  8. dida msenge tu, hata bi.hindu huna hekima za kumfundisha binti ako redioni

    ReplyDelete
  9. dida amejicommentia mwenyewe hakuna wa kumsifia dida ile mimacho ka mbwa kagongwa na gari kafa huyu dida anajisikiaga kwani hana nini haswa? hicho hichokiboyfriend kinachun tu

    ReplyDelete
  10. Mkundruuuuuu kwani hana watu wanaompenda aukishoboka anakupa kubwa chezea homa ya jiji wewe kwanza uyo dida nahisi hana hata habari kama kunamivuzi kama nyie mnamuongea muacheni aringe ringeni na nyie alolooooo mkimchukia kuna tunaompenda babuweeee

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kabisa ukiwa binadamu wako watakaokuchukia na wako watakaokupenda mwacheni alale

      Delete
  11. We kuma tu...
    Na siku si nyingi utafukuzwa pale redion!!
    Malaya wewe watangazaji wakiume wa pale wote wamekula tigo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unaongea utafikiri umekunywa maji ya choo yenye Mavi mkundu wako

      Delete
  12. Hiiiiukwiiiii humu ndani sijawahi kuingia ila binadamu mnaroho mbaya sana kwanza kabisa mnamtukana mwenzenu kwa kipi hasa na ndio kwanza maisha mwenzenu ameyapatia embu kuweni watu wenye upendo na moyo dida namsikia tu sijawahi kusukia anaskendo za kipuuzi zaidi yakuolewa kwake wewe unayemuuita mwwnzio kuma wewe unayo na mamako nyumbani pia uo umalaya wake sijauona acheni majungu upashukuna kushadadia vitu visivyowausu eti ataachishwa kazi hujamuajiri wewe ivi mnafurahia mwenzenu achwishwe kazi mnajisumbua wajameni tuache majungu fitina chuki zisizonamsingi uwa nampenda uyo dida kipindi chake sana anamadongo saa nyingine uwa najihisi kanichamba mimiblkn najiuliza mbona hanijui sijui acheni majunguuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nimekupendaje Dida Hana skendo za umalaya Kama kuolewa tena yeye anabahati kuliko nyinyi mnatamani ata wa kukwambia habari humpati mwenzenu anabahati hapendi kuishi na umalaya Kama nyinyi ndio maana anafunga ndoa kwa raha zake mwacheni na mavivu yenu

      Delete
    2. WANAO SEMA DIDA ataachishwa kazi wenyewe kazi hawana hebu mwacheni mtoto wa KITANGA ajifarague apendavyo. wote walio mtukana dada MIKUNDU YAO

      Delete
  13. hivi sembe ameacha kuuza maana sikuhizi anaendesha raum eti! wapi vogue? duka lake lina vitu gani maana vaa yake uvundo anauzaga nini dukani?wadau mijuze

    ReplyDelete
  14. Dida nilimtaka nimuowe huku kwetu kenya akadinda sasa umbea tuu sikazi..

    ReplyDelete
  15. Wewe mbwa hapo juu humjui dida msenge kumamako dida anaendesha raum? Mkundu kunuka wewe kamuone maisha anayoishi unamsema mwenzio wewe ukute bajaji una anapanda ndege kama anaenda ilala uliza uwambiwe wewe umpati yule demu labda uzikiri uchi demu anajua kutafuta mkwanja na akizitumia anatumia kweli kwenye ukweli semeni mtangazaji gani anamaisha mazuri kama didaa mapakaa ya baa nyie mnakaa kimzungumzia mtu hamumjui ngoja niwaite wanaomjua dida waingie humu kumamae zenu eti anauza sembe nimegundua kwa nini huwa anawachamba kimambegrrsi zenu hamumfikii hata kama sembe rahisi kauze ma wewe mwenzio ama duka wewe una nini minyoo mitupu dida hajui kuvaa kuma lako kama kabati kamuone mnajifanya mnamjua saaanaaaa nyokosti nyokostingo tupo sambamba na nyinyi mavi kunuka

    ReplyDelete
    Replies
    1. raum kwani uhongo wewe hapo juu ni dida mchopang umejibu mapovu kibao

      Delete
  16. Huyo dida kwanza mchafu ptuuuuu akija china wanaume wanamtoboa hawamrudii ana kiharufu muulize bwana zake wa china Alfa,manywele ....Alf ndoa gani
    Mume ndo anakuja kuishi kwako? Kila mume analetwa hapo badilisheni kitanda

    ReplyDelete
  17. Aliecoment hapo9:44 atakua ni nguchiro dida mwenyewe. Someni btwn lines mtaona. Kama mnajua lakin

    ReplyDelete
  18. Haha minnligundua mwanzon kabisa kuwa ni yy mwenyew dida....acha tu ndoa zimshinde mwanamke ana matus utafikir anashinda kwny vijiwe vya mateja looh...hao waume wapo hapo kuonja na kuchuna wakitosheka wanachapa lapa....uache kumbemenda mtoto wa watu.....afu unavyojitahd kurudisha tumbo ndan ujue unazid kutanuka juu km matumla....mwenzio anapigana ngum..ww mwenzangu....na hivyo muumba alikuumba akiwa amechoka hahaha....yan hakuna ht kimoja alichokupa kizuri.....sura baya ..shepu baya...tabia ndo usisemee.....hyo mmeo apite huku aone mke wake ulivokuwa na master ya mdomo mchafu km choo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Usikufuru kwa kuongea maneno yasiyokuwa Na maana,Kama una cha kuongea ni bora unyamaze maana unadiriki kusema Mungu alikuwa kachoka alivyomuumba Dida,huko ni kukufuru kupita kiasi halafu tambua hujafa hujaumbika hii dunia tu isikutie kiburi ndugu...

      Delete
    2. anaingiza tumbo ndani aonekane msweet kwi kwikwiiiiii kumba anaonekana kama matumla mdau umenikosha hapo juu au kama simba jike.lol

      Delete
  19. 11:32 umesema kweli asee

    ReplyDelete
  20. WEWE ANON HUNABAHATI NDIO MAANA MNAMTUSI MWENZENU KAWAKOSEA NINI NYIE HATERS TU MNAJULIKANA HATA MNAVYOTUMA HIZO COMMENTS ZENU SISI WATU WAZIMA NA AKILI ZETU TUNAONA NYIE WOTE NI ROHO MBAYA NA CHUKI NDIO ZINAWAUMA MAISHA YA BINADAMU MWENZENU KAMA ANATIWA KATIWA NYIE INAWAUMA NINI SIFA ZA WANAWAKE NI UMALAYA KAMA RAHISI KAFANYENI HAMNA LOLOTE WIVU TU NA UJINGA WA WACHACHE WENYE AKILI TIMAMU WANAJUA TU HAPA NI JELOUS

    ReplyDelete
  21. Huyo dida ni matako tu hana lolote mzee yule,nashangaa watu wanamshobokea.

    ReplyDelete
  22. Ww uliecoment hapo juu hata kama ni mtu mzima huna Busara hakuna anaemuonea wivu Dida kwa kipi alichonacho bhana.tatizo huyo Dida ni mdomo mchafu ndo unaomponza coz hata wanaume wanamuacha kamuaribia amina kwa g .Dida Malaya tu

    ReplyDelete
  23. hivi kumbe dida anamatusi sijawahi sikiliza kipindi chake hata sijui kama redio yangu inapata hiyo station. mimi namwonaga tu kinondoni sura panaa mkorogo kibao basi

    ReplyDelete
  24. Dida mdomo mchafu maringo huu shule hakuna bS tabu tupu safi uliempeleka mbele ya sheria akome kuchamba watu kwy redio km anajiamini amfate live sio redioni Dida jirekebishe mi sikudikilizi tena kwa shombo zako

    ReplyDelete
  25. Humu ndani hakuna hata mmoja aliye na nafasi ya kumtusi dida jueni hamjakamkamilika ni madongo ya dida redioni yanawakuna hamtukani mtu vijembe vyake ujumbe unatosha ila kumbukeni uzuri wa mtu si kuonekana muonekano wake wa nje nyie wenyewe mna yenuachafu mengi sababu dida ni super star anamaisha yake mengine lzm apate maadui mdio kama nyinyi mnaoandika comment zenu kumchafua tu dada wa watu hamna kingine kabisa chuki za wazi dhidi yake sura mbaya ooo hapendezi haiwahusu mwisho wa siku mnaomchukia wachache wanaompenda wengi binadamu huwezi pendwa ma wote na hizi comment unakuta ni watu wawili watatu ndio wanaoandika dida asivunjike moyo hata kidogo wanakukubali ndio maana wanakujafili uko juu sana .imi ni msikilizaji mzuri wa kipindi chako nafiatilia blog yake hana ubaya uo na nyie ni binadamu kashfa kwa mwenzetu sio nzuri mkaoge mlale hakuna la kumtatiza umu ndani hna jipya mmrkimbia milembe kwendeni zenuuuu

    ReplyDelete
  26. Ulimnaga mkwe wa mchops sasa anakula bata town mchops kakimbia town anabangua korosho masasi kisa wewe umeharibu ndoa ya mwenzio utataga na mboo MPK zikuotee mwilini uwezi kudumu kwa domo hilo badilika akili fupi lm wewe ujiulizi unakasoro gani mi domo tuuu

    ReplyDelete
  27. ZINAT BERNFORD UK2 February 2014 at 00:41

    ANON HAPO JUU SERIOUS UMEONGEA POINT SANA WATANZANIA WIVU UYO DADA DIDA NI JEMBE SANA UK IKIFIKA SAA SITA MCHANA TUNAMSIKILIZA YEYE HADI WATU WANAJIITA JINA LAKE PUNGUZENI MTI MANYONGO UYO DIDA ANAWEZA UKWELI MNAUJUA BAADA YA MAREHEMU AMINA UYO DADA KASHIKA NAFASI BWANA NYOTA YAKE POA ANAENDESHA KIPINDI UNASIKIA RAHA KUMSIKILIZA AO WANAOMSEMA ANAGONGA IKULU MNAUMIA MAMBWIGA KWELI WABONGO DIDA OYEEEEE KAMA RONALDO WEWE KIUNGO MUNGU ANAFUNGUA MILANGO WEWE KAA KIMYA MDOGOO WANGU PENYE HERI HAPAKOSI SHARI NA MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAOPIGWA MAWE

    ReplyDelete
  28. Duuuuuu dunia inamambo chuki za dhahiri kabisa kwa mwenu kha kinyaa na kichefu chefu huwezi kumchukia binadamu mwenzio ivyo kweli lady jdee na mwana fa waliimba msichoke kuongea kila mnapoongea sifa zina ongezeka big up dida nakufyagilia

    ReplyDelete
  29. Kutombwa anatombwa mwingine kukata viuno mnakata nyie kwanini?

    ReplyDelete
  30. Ahaaaaa anon 10:02 umenifurahisha kweli kutombwa atombwe mwengine nyege wansikia wao wasenge tu hawana jipya duda yuko juu bwana anayebisha na abishe kimya kimya anaweza hakuna mtangazaji anayetangaza kama dada wa watu vimbelembele kutaka kumchafua kama hamumpendi ni nyie sio wote tunamkubali kwa kazi yake anajiamini mwanamke mtafutaji bado hamtomfikia acheni nyege nyie dida dida kumanina zenu wote mnaocomment usenge umu kuhusu dida ile namba nyingine tunampenda kiukweli sijaona machafu yake kuna mtu kasema hawa watakuwa watu wawili watatu wanamchafua tu mikundu yenu wote ina makengeza

    ReplyDelete
  31. Labda alidhan ni times fm ni ya Baba yake

    ReplyDelete
  32. AISEEEE WENGI UMU WASENGE TU MAMBULULA WANATAMANI WAWE UYO DIDA WALLAH ANAWAUMIZA VICHWA SANA ANAKUBALIKA SANA SANA

    ReplyDelete
  33. HUYU DIDA NDIO NANI JAMANI NI BONGO MOVIE AU ?

    ReplyDelete
  34. Wote mlio mtukana dida mambulala . Taarabu inaimbwa yy anayananambua yale maneno sasa mnadai anamatusi kama umpendi unamsikiliza wanini na unamfatilia maisha yake yanini muacheni mtt wa mwanamke mwezenu miaka 1000mmekalia umbea tu.

    ReplyDelete
  35. kajichubua kichwa chake.kikubwa sana n kuma yake nyeusi sana .miguu yake mifupi mmnoo.

    ReplyDelete
  36. NI KWELI KAZIDI HUYO YEYE KUTWA KUTUKANA WENZIO,NIKO JUU,HAMNIWEZI,UNA NINI KIKUBWA MNO HAKUNA,SHOBO TU MJINI,MTU MZIMA KUJIFANYA MTOTO,KAANZA KUIGIZA KAOLE MIAKA MINGI,NA TAYARI ALISHAKUWA MTU MZIMA,CHA AJABU KILA MWAKA ANA MIAKA 28,SURA PANA KAMA MBILIKIMO,

    ReplyDelete
  37. haaaa,tena wamekutana na huyo mume wake kama mazombi,kujisexsha mtu mzima,aende wamemkomesha,kutangaza hajui,ubunifu hana,mdomo tu,na huyo mume hodari,mwanamke ana mdomo mchafu,G alikuwa msomi ndio maana akampotezea,kaona tabu,alafu hoo nimemuacha,umuache hutaweza,matokeo yake umeangukia mikononi kwa mdogo wako Ezden,

    ReplyDelete
  38. Yaani duuu dida anawaumiza sana vichwa kama mtu humpendi unamsikiliza wa nini umesema kweli ndygu hapo juu hawana lolote kutaka kumshusha dada wa watu mwenzio ana bahati ya kuolewa wewe yote mnayosema machafu kuhusu yeye bado anaolewa mwenzenu na iyo iyo sura yake pana na uo mchubuko wake kama wanaume mnacomment umu ndani basi wasenge hamuwezi kumchukia mwanamke na nyie ni wanaume kama wanawake inajulikana always wivu na chuki hakuna media inayoruhusu kutukana anawapa za mbavuni kjmanina nyie ndio maama mnasema anamdimo mchafu mnachambwa mpk mnataka kuhara si bure kuna kitu amewazidi mnaumia walai natamani ningekuwa na namba yake nimwambie aingie umu mchambo wake tu mmgekunya shenzi nyie donge yu aoooooop hamna haya moshenzi mbwa kazi ushakunabe tu umu dida fanya yako jelous people never win kumamaeeeeeee

    ReplyDelete
  39. nyie mnaomshobokea ndio kawazidi,hajatuzidi chochote anavyopenda sifa huyo,angekuwa na vikubwa ingekuwa hatari,maana anapiga picha anakunya anaweka insta,sasa huyo ana akili kweli,yeye akiachana na mwanaume,atamchamba kwenye kipindi chake mpaka kero,me huwa najiulizaga huyu mzima kweli,na hao shoga zake wanaomtetea humu,ndio wale wanaoishi marekani,wa njaa wana stress,sasa dida akitukana wao ndio wanapenda,maana hali zao tete,kazi kweli kweli,

    ReplyDelete
  40. mbona humu keshaingia na kashasoma,leo mnyonge,maana alivyonangwa humu leo,mashauzi yote mfukoni,mtu mzima hovyo.kazi kujidogosha tu huko insta,hayo mambo waachie watoto,wakati wako umeshapita,watu wazima wenzio wakina mish B, sister V,Gea habibu ,wako kimya wanajiheshimu,wewe bado tu,unataka kushindana na kina wema,na penny,ebu tulia,ongeza watoto,na huyo serengeti wako,anakushinda hata mdogo wako Rose ndauka,

    ReplyDelete
  41. TEAM DIDA MPK KIAMA2 February 2014 at 18:19

    HIVI NYIE MIKUNDU MIKUBWA KAMA PIPA MNAHISI DIDA ANAOGOPA KITU HAMUMSHUSHI ALIPO WASENGE NYINYI KWELI AMUOGOPE NANI KAMA WAKWAKE SERENGETI WAKWAKO YUKO.WAPI MIKUNDU WAZI KUTWA KHMZUNGUMZIA MWENZENU WALA DIDA HANA MUDA MCHAFU WA KUUMIZA KICHWA NA MAFALA KAMA NYINYI HAMNA SERA KUMA ZENU NATUKANA SABABU WATU WANAMKASHIFU BINADAMU MWENXAO UTAFIKIRI MMEKAMILIKA WASENGE WOTE NYIE MUMUACHE ANAMAISHA YAKE KUMBE UMEKUBALI KAMA RAFIKI ZAKE WAKO MAREKANI MBWA WEWE BORA MWENZIO ALIYETAKASA .MACHO KATEMBEA NCHI NYINGI MTAIDHIA KUMTUKANA MWENZENJ LEVEL NYINGINE MBWA WAKUBWA NYINYI WASUNGO NYOOOOO KUTWA DIDA DIDA MIJIBWA POLI CHOYO VHUKI BINAFSI EIVU VITAWAUAA MBWA NYINYI HAPO MLIPO HATA KIBANDA CHA NYANYA HAMNA MNAFUNGULIA NJIA KWA TAARIFA YENU DIDA ANAWEZA NYINYI NI HATERS WACHACHE MNAOMCHHKIA KUMAMBEGERESI ZENU HAMJAFUNDWA MAVUZI YENU

    ReplyDelete
  42. dida oyeeeee aooooooooo mikundu mikubwaaaa aiseee tunacheka sana watu wana roho za kutu dhombo za msziwa jazijatoka kwapa bado xinawanuka laumu temba lako donda vhezea dida utalala uvhi mbele ya mkweoooooo ureeeeeee

    ReplyDelete
  43. huyo dida ukimuona live utakimbia..
    Chini mwembamba juu mnene..

    Ana sura mbovu kama upande wa pili wa kuma!!

    ReplyDelete
  44. Jamani haipaswi kutukana au kusema maneno ya nguoni kama hayo bila shaka mct wametoa hukumu iachen ifanye kazi... sisi kuongea huku haisaidii na maneno mnayoandikia wala hayana mvuto... tubadilike watanzania wenzangu na tuwe na kiasi cha matamshi yetu... ni mtazamo wangu

    ReplyDelete
  45. mh polen jaman mnaangaika na mtu ambaye ata awawahusu km ubaya ni wake jaman nyie wazur mbona atuwaoni sura zenu

    ReplyDelete
  46. Ana bonge la domo..
    Hiyo mishavu na mijicho kama mkundu wa Ezden loh..!!

    ReplyDelete
  47. Hahahahahah comment za wadau zinachekesha sana!! Hahah

    ReplyDelete
  48. Mnalo mashabiki wa dida,bosi wenu mcharuko,hana mpango mjini,watu wanamuona mzushi tu,mwambieni kama ana hela akafanye oparation apunguze lile sura lake kama bonto,sijui alitaka kuwa mbilikimo,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jamani mbavu zangu. ...wapendwa mkumbuke huyo ni binadamu ameubwa na Mwenyezi Mungu, huyo mbot o mbona mzuri tu.

      Delete
  49. Haaaaaa,umenichekesha mchangiaji hapo juu,yule kweli bonto,wamekutana na bibi yake hindu,wafupi kama kistuli,tulieni mmeshazeeka,

    ReplyDelete
  50. Mikundruuuuuu nyie hamna jipya hana hata ubaya uo nawewe unayemtukana dida ni mtu mmoja su wawili tuonyesheni sura xenu kuma kibuyu nyinyi nyie warefu kuma zenu ziko wazi kama bwawa mnamuonea wivu na sura yake lkn mwenzenu anafanikiwa msjungu watanzania siwashangai mmesimamisha mikundu kama mabeseni nyokosti dida hamimuwezi nyie makuma wazi kazeeka bibi yako kijijini kwenu tuonyesheni sura zenu kumamae zenu mfupi mwenzenu anapanda pipa kila mara wewe mrefu umefika wapi wasenge tu ukionwa mtu anasemwa ujue mmemkubali ao mct wanajua adhabu waliompa nyie njaa zenu za kumtusi mwenzenu kumanina kesho mumsikilize nuie mnaotaka afukuzwe kazi kwikwiiiiiiiiiiiioooooooooooo mikundruuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  51. PYEEEEER KWIKWIIIII NIMEGUNDUA WEWE DIDA NOMA TEMBA SI SHOGA YULE NIMECHEKA ULIVYOGUSA JINSIA KUDADEKI HAWA HUMU WANAOMTUKANA DIDA MASHOGA KISA SHOGA YAO TEMBA KATUKANWA NI MSENGE YULE MVULANA ANAKAA KIGAMBONI SISI WAKAZI WA UKU TUMEMCHOKA SHOGA KALEGEA KAMA SAMAKI MSENGE POLE DIDA TATIZO LA KUGOMBANA NA JINSIA ILE ILA ULIMCHSMBA SANA NA MAMBO YAKE YAKULEGEZA MACHO KAMA KAPIGWA DOLE LA MATAKO MSENGE KWELI HANA MKOLE KWAKWAKWA JISHOGA TEMBA HUJAMKOMOA DIDA NA YEYOTE ATAKAYESHABOKEA DUNDO MPE ZA USO MNAMUANZAGA AKIMALIZA MNAJIDAI KAWATUKANA PUMBU ZA MBWA NYIE SENGE TEMBA KUIMBA ALIJUI UYO UYO DIDA KAMPROMOTI TUMEMJUA ANAPENDA UMAARUFU TU AKIKAA KUTWA KUJAMBA AHAAA WAKUACHE DIDA JUU ZAIDIIIII

    ReplyDelete
  52. Hahah dida kapanic....hahaha afu alipokuwa kaole alikuwa mpoleee nnlikuwaga nampenda pind nnlipokuwa mdogo lkn ss hv km anachambia pilipili....acha kujibu mwenyee basi...afu et unashindana na sintah..kwakwakwa mwenzio aliumbwa wikiend yule...mama mitusiiiii

    ReplyDelete
  53. Heeee ifike sehemu dida ukue jmn lol kujidogoisha ndo nn?? Acha mambo ya kitoto, mtu ushaolewa ndoa tatu lkn bado hukui, acha hila mwanamke. Wenzio wasanii waliobahatika kuolewa wametulia ndoani hata hawana shobo km wewe. Una hila ya kwapa........acha

    ReplyDelete
  54. mh!!! nidhamu itakuachicha kazi kuwa mwangalifu hata mumeo hafurahii hiyo tabia jifunze hekima dada sasa hiyo faini atalipa wewe au compun maana kama ni kampuni utakua umeiitia hasara kitu ambacho ahikikubaliki pia umeitia kampuni dosari

    ReplyDelete
  55. Na huyo anaemtetea,atakuwa matikibokoyao,maana nae hamnazo kama dida,

    ReplyDelete

Top Post Ad