AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ndio uko aja yakupiga marufuku unywaji wa mchana
ReplyDeletePombe ni kitu kisochokua na faida yoyote kwa mtumiaji zaidi ya kumuongezea matatizo na madhara kadhaa. Bila kujali imetumiwa mchana au usiku. Mtu yyt mwenye akili timamu hawezi kuwa mnywaji wa pombe.
ReplyDeleteexactly ni ujeuri tu wakutoelewa mambo
Deletembona pombe zinauzika sana..!!!!eeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhhmuulize masogange
ReplyDeletendo maana iliharamishwa
DeleteStarehe ya m2 kama ww hu2mii ki mpango wako! Nyau
ReplyDeleteTena nyau mwili mzima
ReplyDeletewamekosa shughuli za kufanya na kujituma wameshindwa, matokeo ndio hayo kuangukia kwenye urabu
ReplyDeletemsiwahukumu watu wanaokunywa pombe wengi wao wana matatizo wa msongo wa mawazo, mimi mwenyewe nakunywa pombe kutokana na msongo wa mawazo nimejaribu kutumia dawa za msongo wa mawazo za kila Aina lakini imeshindikana kunitibu, ni pombe peke yake ndiyo inanitibu msongo wa mawazo na stress ila sinywi pombe kila siku ni mara tatu kwa wiki
ReplyDelete