AINA SITA ZA VITAMBI...JE WEWE CHAKO NI KIPI KATI YA HIVI?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.

2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za
ofa.

3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani.
Hiki wanacho wala rushwa. Ila akisimamishwa kazi
kinaisha.

4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho
ukivaa nguo pana
hakionekani. kinasababishwa na kula mno viporo.

5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.

6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada. Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa Maombi tu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

10 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hahahahahahahahahahahaaaaaa....Admn umeimaliza cku yangu vzr

    ReplyDelete
  2. jamani!!!!!!!!!!!!!!!! makubwa

    ReplyDelete
  3. Hahahaha jamaniui

    ReplyDelete
  4. Du! Wajameni!

    ReplyDelete
  5. nimeLyk kitambi mtunguo

    ReplyDelete
  6. Ungeweka picha za mfano wa aina hizo jaman

    ReplyDelete
  7. Hahahahahahaha burdaniiiiiii na vitambi........

    ReplyDelete
  8. Hahaaa We Nouma Nimecheka Mie Mwenzenu Kitambi Chakutoka Na Maombi???

    ReplyDelete
  9. Hujatuwekea cha mnywa gongo na pombe cha kienyeji (mataptap) yeye anakuwa na tumbo kubwa nyuma pasi pia usoni muda wote kama ana nnya anaitwaje huyo?????????? pls adm. nitajie

    ReplyDelete
  10. namba nne nd o funga kazi kitambi mtepeto ambacho kinasababishwa na ulaji wa vporo kwa wingi ,wajameni mbona watu wala vporo kwa saan a wengi wao hawana hvyo vtambi?

    ReplyDelete

Top Post Ad