HIYAAA...MR NICE NOW BLAMES GOD FOR HIS DOWNFALL

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

In a shocking move, Lucas Mkenda popularly known as Mr Nice, has come out to explain his miserable downfall in music terming it as God’s plan.

In a recent media interview, the Kidalipo hit maker said that he once had more than 1.5 billion shillings in his various bank accounts and he does not understand how and where all that money disappeared to.

"Kaka naweza kusema hii ni mipango ya Mungu tu kwani sikuwahi kumdhulumu mtu wala kuiba cha mtu pesa yote nilikuwa naipata kwa hali naweza kusema hii ni mipango ya Mungu tu wala si mkono wa mtu" he said

"Niliwahi kumiliki zaidi ya milioni elfu moja na mia tano kwenye bank tofauti hapa nchini pesa hizo zilitokana kufanya shoo nyingi za nje ya nchi kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Sweden, Holand, Dubai, Afrika Kusini na kwingineko na kila shoo nilikuwa napata pesa ndefu sana" he added during the emotional interview.

The star also talked about his numerous worldwide shows saying that the most memorable show he remembers and which makes him cry up-to today is a show in Rwanda when he found a Rwandese Minister waiting for him on the red carpet at the airport with a multitude of fans complete with a military escort just for him. The legendary singer has been making frantic efforts to bounce back into the music industry.

Is it right for Mr Nice to blame God for his down-fall?


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Not right keep on playin men...

    ReplyDelete
  2. Admin, i dont think he is blaming but he just accepts the fact. He sounds like a good beliver to me.

    ReplyDelete
  3. nakupongeza kwa kujitambua na kutoamini nguvu za giza endelea kumwamini yeye atakupa tena

    ReplyDelete

Top Post Ad