AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama huu ni ukweli basi huu ni wakati muafaka kwa Wazanzibari wadai kwa namna wanavyoona wao wanafaa uhuru wa mtu wao, aliyekuwa raisi wao na sasa yupo kizuizini nje ya mipaka yao kwa kutetea maslahi ya waliomchagua...
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmmh kweli?
ReplyDeleteKhaaaa we siku zote hujui ndo nchi yako hii ilivyo msema kweli ndo Adui na Mchochezi
DeleteSawa
ReplyDeleteNdo manake. Chezea Juliasi wewe.!!
ReplyDeletehivi hawa wa znz wanaisaidia nn tanganyika zaidi ya kutunyonya tu kama wanataka znz yao basi waachiwe mpaka wanamfunga baba wa watu kisa kudai uhuru wa nchi yake
ReplyDeleteTundu Lisu alisema Nyerere alikuwa muongo na dikteta mkadai katukana.. je? Kumng’oa Jumbe madarakani na kudai eti kajiuzuru siyo uongo huo.. kumfunga kifungo cha nje bila kumpeleka mahalamani siyo udikteta huo.. sijui wabongo tunaumwa ugonjwa gani, kukataa ukweli na kubariki uongo.. au tumelogwa? eeh Mungu tufungue akili zetu
ReplyDeleteMzee Jumbe baada ya kusaritiwa na wenzake ndani CCM Zanzibar, hakufungwa,ila aligundua ukweli wa siasa kuitwa mchezo mchafu akajipumuzisha Kigamboni.Uamuzi wake uigwe na wazee wenzake wangatuke kukwepa aibu ya kutukanwa na wanasiasa wa kizazi kipya kisichotambu kwanini watanzania tunawaenzi NYERERE na KARUME.
Deletekwani yeye jumbe hajui ofisi za amnesty internation mpaka akubali kifungo sio halali? badilikeni nendeni na wakati hizo ni siasa wajinga ndio waliwao sitaki kusikia kitu siasa . kwa wajanja lakini.
ReplyDelete