AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama huyo, Ubah Mohamed Abdullahi, anayeishi katika kambi ya wakimbizi nchini Ethiopia, anasema kuwa ilikuwa mara yake ya kwanza kusikia kuhusu kijana wake ambaye alipotea miaka sita iliyopita.
Mama Uba ambaye alitalakiana na mumewe, alisema hakuwahi kuwasiliana na familia yake yake iliyohamia nchini Marekani mwaka 2008.
Babake kijana huyo menye umri wa miaka 16 alisema kuwa alikuwa anajaribu kurejea Somalia na kwamba alidhani ndege hiyo ilikuwa inaelekea Somalia ili aweze kwenda kumuona mamake.
Yahya Abdi alisafiri bila ya hewa ya Oksijeni akiwa angani kwenye baridi kali kwa saa tano kutoka Carlifonia hadi Hawaii
Mama Abdullahi alisema kuwa alipokea taarifa kutoka kwa jamaa wake wanaoishi Ulaya kuhusu mtoto wake na alivyonusurika kifo.
Akiongea na BBC kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Sheed Dheer ambako amekuwa akiishi tangu mwaka 2008,mama huyo Abdullahi alisema kuwa alishangazwa sana na mwanawe ambaye alihatarisha maisha yake kwenda kumtafuta.
Alisema kuwa tangu wanawe na baba yao kwenda Marekani,, amekuwa akijaribu sana kuwatafuta bila mafanikio.
Baada ya Yahya Abdi kupatikana akiwa katika uwanja wa kutua ndege aliambia mafisa wa usalama kuwa alikuwa ametofautiana na famia yake nyumbani na ndio maana akaamua kuchukua ndege ya kwanza aliyopitaka kurejea Somalia.
Katika mahojiano na shirika la habari la Voice of America, babake kijana huyo Abdilahi Yusuf Abdi, alisema kuwa Mungu alimuokoa mwanawe ambaye daima alikuwa anataka kurejeaAfrika.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
stale news this was in yahoo 2 weeks ago.lazy journalists
ReplyDeleteasee makubwa
ReplyDeleteAdimin? Cjaelewaaaaaaaa! Hamna pua wala maskio
ReplyDeleteLove for mom
ReplyDeleteHii inatufundisha kwamba kifo chako kinapangwa na Mungu tuuuuu
ReplyDelete